-
Kwa kweli Mungu amewaita watu wengi. Maisha yetu duniani ni fursa ya kumtumikia, na Mungu anaangalia vitu unavyofanya kwa ajili ya Ufalme wake. Kitabu hiki kinachagamsha usomaji. Ukihifadhi akilini mawazo ya ukweli yaliyoandikwa na mwandishi, utapokea hekima kutumia fursa ya maisha yako kwa njia sahihi.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Ingawa ni hitajiko la Mungu la kimsingi kwa viongozi, wachache sana wameandika kuhusu suala hili. Katika kitabu hiki, Dag Heward-Mills anaainisha misingi muhimu sana na kusudi la kuongeza uthabiti wa makanisa. Maudhui ya kitabu hiki ni husiani na ya vitendo mno jinsi kwamba yamekuwa zana zisizotupika kwa viongozi wengi wa kanisa.
-
Unyenyekevu ni sifa muhimu ya kiroho. Watu wachache walijaribu kuandika juu ya hii sifa ya kiroho ambayo si dhahiri ila muhimu. Katika juzuu hii mpya ya kusisimua, Dag Heward-Mills alifunua aina nyingi ya kiburi zinazotatiza. Hiki Kitabu kizuri, kilichoandikwa na mwenza Mkristo anayepambana pia, kitakubariki na kukutia moyo kujenga unyenyekevu wa kitoto wa Yesu Kristo.
-
Jika Anda sedang menggembalakan kawanan domba Allah, Anda pasti akan terbantu dengan karya yang disusuncermat ini. Setiap halamannya sarat dengan arahan mendetail yang dipilih khusus serta vital bagi keberhasilan Anda. Dag Heward-Mills menghimpun pengalaman tiga puluh tahunnya sebagai gembala dan membagikan wawasan praktis mengenai tugas pelayanan. Jika Anda rindu menggembalakan jemaat Allah, inil
-
Hanya satu kata yang muncul di kepala Anda ketika Anda mendengar kata "Gembala", yaitu domba! Domba adalah makhluk yang bergantung yang membutuhkan gembala. Gembala adalah seorang pemandu yang penuh perhatian dan kasih kepada domba-dombanya. Di dalam Alkitab, Allah mengatakan bahwa kita adalah domba-domba untuk padang rumput-Nya. Yesus juga berkata kepada Petrus, murid-Nya, untuk memberi makan domba-domba-Nya demi membuktikan kasihnya kepada Sang Juru Selamat. Menjadi gembala adalah pekerjaan yang sangat besar. Sungguh sebuah kehormatan untuk dipanggil oleh Allah masuk ke dalam barisan pekerja-Nya untuk mengurusi domba-domba. Di dalam buku ini, Dag Heward-Mills mengundang kita, mendesak kita dan menunjukkan kepada kita bagaimana kita bisa ikut bergabung dalam pekerjaan besar mengurusi umat Tuhan. Jangan sampai tidak diikutsertakan dalam pekerjaan indah untuk menjadi seorang gembala!