• Kudzoza ndi chifungulo chachichikulu chofunikira kutsegula khomo la kuchita bwino ndo kukwaniritsa utumiki. Anthu ambiri ayesera kuchita ntchito ya Mulungu chifukwa cha mafuno abwino, popanda kufika kutali analephera kuzindikira kuti “Ndi khamu la nkhondo ai, ndi mphamvu ai, koma ndi Mzimu Wanga (Kudzoza)” [Zekariya 4:4]. Bukhu lapderali “Kupeza Kudzoza” lolembedwa ndi Bishopu Dag Heward-mills lizakuphunzitsani inu zomwe zimatanthauza kupeza kudzoza ndi momwe mungapangire! Lolani chikhumbo khumbo cha Kudzoza kwa Mulungu kutakasike mkati mwanu kudzera mu masamba a m’bukhuli!
  • Wachungaji wanashinikizwa kuwafurahisha na kuwapendeza washirika wao kwa habari njema. Shinikizo hii ya watu imesababisha kubadilisha kwa maneno ya Kristo mpaka imekuwa vigumu kutambua ujumbe wa msalaba. Leo, tunarudi kwa ukweli wa msingi wa Ukristo kwamba tunapaswa "kupoteza" ili "kumpata" Kristo. Nguvu itarudi katika kanisa kadiri tunavyohubiri kwamba tunapaswa kujitoa dhabihu, kuteseka na kufa kwa ajili ya Kristo. Nguvu ya maneno ya Kristo haiwezi kuondolewa na mtu yeyote hata kama amefanikiwa au ni mtu wa nguvu namna gani.
  • Embora o diabo é comumente conhecido como o acusador dos irmãos, ele é realmente o acusador no meio dos irmãos. Em sua experiência de liderança, você vai conhecer diferentes tipos de pessoas. Talvez um dos inimigos mais assustadores que você nunca vai encontrar é "o acusador no meio dos irmãos". Saiba mais nesta nova versão por Dag Heward-Mills
  • Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
  • Azibusa ali pa mpani pani wokondweretsa ndi kusangalatsa anthu awo ndi uthenga wabwino. Mpani pani wa anthu umenewu wapangitsa kusintha kwa mawu a Khristu kufikira mawu a mtanda akhalira kovuta kuzindikirika. Lero, tikubwerera ku maziko a chilungamo cha Chikhristu choti tikuyenera “kutaya” kuti “tipeze” Khristu. Mphamvu izabwerera ku mpingo pamene tikulalikira kuti tipereke nsembe, kusautsidwa ndi kufa chifukwa cha Khristu. Mphamvu ya mawu a Khristu siingafufutidwe ndi wina aliyense posatengera kuchita bwino kapena kukhala wa mphamvu.
  • Mayankho ochitika ku zovuta za kayendetsedwe ka mpingo akuwonetsedweratu mu bukhu la pamwamba latsopanoli la Dag Heward-Mills
  • Wachungaji wengi waliofadhaishwa wamejiuliza swali hili: “Kwa nini kanisa hili Halina maendeleo?” Unautambuzi wa hili swali, sivyo? Unaweza kuwa mchungaji mpya aliyeteuliwa, mmisionari kwa mataifa, mchungaji anayeanzisha tawi la kanisa lenye mafanikio… orodha inaendelea! Hili ni swali ambalo wengi wetu tunahitaji jibu.Katika mtindo wake wa kawaida, wa vitendo na uhalisia, mwandishi anayeuzwa sana Dag Heward-Mills, anashughulikia swali ambalo limekuwa likiomba jibu. Hili ni jambo la lazima kusomwa kwa mtu yeyote anayechunga kanisa; yeyote ambaye ana nia ya kushiriki injili ya Yesu Kristo na kuwakusanya watu kwa Mungu.  
  • Watu wengi wanahangaika na dhana ya utoaji zaka ingawa zoezi hili la zamani limepelekea utajiri unaofahamika wa Wayahudi. Katika kitabu hiki, Askofu Dag Heward-Mills anafundisha namna utoaji zaka unavyowakilisha kanuni za utengenezaji utajiri na muujiza wa mafanikio. Furahia moja ya juzuu ya kiwango cha juu ya Dag Heward-Mills.
  • Kwakira Yesu kristo nk’umwami n’umukiza w’ubugingo bwawe, uba ukijijwe ubaye icyaremwe gishya ndetse izina ryawe ryanditswe mu gitabo cy’ubugingo. Ikibazo wibaza n’iki:”indi ntambwe ikurikiyeho n’iyihe?” Guhinduka umukristo n’intambwe nziza ariko n’intangiriro gusa. Ushaka kuba umukristo mwiza, umukristo ukomeye mu gakiza. “Nabigenza nte? _Mur’iki gitabo, uzigamo intambwe umukristo akwiye gutera kugirango akomere mu gakiza adafite ubwobwa bw’urupfu cyangwa kujya mw’ijuru.
  • Beaucoup de chrétiens ont du mal à répondre à des questions telles que : « comment puis-je connaître la volonté de Dieu pour ma vie ? Que dit Dieu par rapport à cette situation particulière que je traverse ?  Quelle est la bonne décision à prendre ? Ce livre exceptionnel de Dag Heward-Mills fournit un enseignement sur les différentes voix qui influencent nos décisions, les différentes méthodes par lesquelles Dieu parle et sur comment savoir, dans la pratique, ce que Dieu nous dit. Apprenez a suivre la voix de Dieu jusqu’au… SOMMET !
  • Il est inutile de se battre pour savoir qui est véritablement un berger. Un berger est un guide de brebis bienveillant et doux. Un berger est quelqu'un que Dieu a appelé à s'occuper des brebis. Être un berger est un très beau travail. Rappelez-vous ! Jésus dit à Pierre de montrer son amour par paître et s’occuper de ses brebis. Dans ce livre, l'évêque nous invite à nous lever et rejoindre la plus grande œuvre, de prendre soin du peuple de Dieu.
  • Nombreux sont ceux, parmi nous, qui ne comprennent pas en quoi l’histoire de l’arbre de la connaissance du bien et du mal les concerne. Nous pensons qu’il s’agit d’un malheureux événement qui a touché Adam et Ève, et que nous y avons échappé. Mais avons-nous réellement échappé à l’arbre de la connaissance du bien et du mal ? Dans ce livre simple, vous vous rendrez compte que l’arbre de la connaissance du bien et du mal existe encore aujourd’hui. Vous réaliserez également qu’il est aussi tentant pour nous qu’il l’était pour Adam et Ève. Par ailleurs, vous découvrirez des vérités qui vous guideront dans votre vie et votre ministère, lorsque vous vous servirez des connaissances que vous aurez acquises à travers ce livre.

Title

Go to Top