-
Kitabu hiki ni mwongozo mkuu kwa kuelewa wokovu kupitia Yesu Kristo. Katika kitabu hiki cha kipekee, utaelewa ni kwa jinsi gani Yesu anavyokupenda, namna unavyoweza kuokoka, namna unavyoweza kuepuka kwenda kuzimu na nini maana ya kuwa kiumbe kipya katika Yesu Kristo. Mpe mtu yeyote kitabu hiki na wataelewa nini maana ya kuokolewa kupitia damu ya Yesu Kristo.
-
Shetani anatka kanisa lako kubakia ndogo. Jinsi una watu wachache katika mkutano wako ndivyo alivyo na mateka wengi. Kima cha kanisa lako kinakuonyesha ni kwa kiwango kipi unapunguza idadi ya watu jehanamu. Wakati una kanisa kubwa, inamaanisha kwamba unajenga roho. Pia inamaanisha kwamba roho zaidi zimeepuka mikono ya shetani. Jua mengi katika hiki "cha lazima" kwa wachungaji wote.
-
Usiku mmoja, wakati akiwa ni mwanafunzi wa utabibu katika mji mmoja huko Ghana, katika hali ya mwujiza Mungu alimpaka mafuta Dag Heward-Mills wakati alipokuwa akimsubiri Bwana. Alipakwa mafuta kwa namna isiyo ya kawaida na kusikia maneno, “Tangu sasa na kuendelea unaweza kufundisha…” Wito huu usio wa kawaida ndio uliomwongoza kwenye huduma iliyosambaa duniani kote.
-
Usiku mmoja, wakati akiwa ni mwanafunzi wa utabibu katika mji mmoja huko Ghana, katika hali ya mwujiza Mungu alimpaka mafuta Dag Heward-Mills wakati alipokuwa akimsubiri Bwana. Alipakwa mafuta kwa namna isiyo ya kawaida na kusikia maneno, “Tangu sasa na kuendelea unaweza kufundisha…” Wito huu usio wa kawaida ndio uliomwongoza kwenye huduma iliyosambaa duniani kote.
-
Upandaji makanisa ni jambo la kiajabu ambalo limeenea kati ya watumishi wenye haiba. Ilikuwa shughuli kuu ya wafuasi wa kale. Upandaji kanisa uliofaulu, hata hivyo, unadai ujuzi na unakumbatia sababu nyingi. Dag Heward-Mills anachambua vipengeleze mbalimbali vya upandaji kanisa katika kitabu hiki. Ni mwongozo wa mafunzo kwa kila mtumishi ambaye anataka kufanya upandaji kanisa ono lake la kimaisha.
-
Wachungaji wanashinikizwa kuwafurahisha na kuwapendeza washirika wao kwa habari njema. Shinikizo hii ya watu imesababisha kubadilisha kwa maneno ya Kristo mpaka imekuwa vigumu kutambua ujumbe wa msalaba. Leo, tunarudi kwa ukweli wa msingi wa Ukristo kwamba tunapaswa "kupoteza" ili "kumpata" Kristo. Nguvu itarudi katika kanisa kadiri tunavyohubiri kwamba tunapaswa kujitoa dhabihu, kuteseka na kufa kwa ajili ya Kristo. Nguvu ya maneno ya Kristo haiwezi kuondolewa na mtu yeyote hata kama amefanikiwa au ni mtu wa nguvu namna gani.
-
Embora o diabo é comumente conhecido como o acusador dos irmãos, ele é realmente o acusador no meio dos irmãos. Em sua experiência de liderança, você vai conhecer diferentes tipos de pessoas. Talvez um dos inimigos mais assustadores que você nunca vai encontrar é "o acusador no meio dos irmãos". Saiba mais nesta nova versão por Dag Heward-Mills
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Wachungaji wengi waliofadhaishwa wamejiuliza swali hili: “Kwa nini kanisa hili Halina maendeleo?” Unautambuzi wa hili swali, sivyo? Unaweza kuwa mchungaji mpya aliyeteuliwa, mmisionari kwa mataifa, mchungaji anayeanzisha tawi la kanisa lenye mafanikio… orodha inaendelea! Hili ni swali ambalo wengi wetu tunahitaji jibu.Katika mtindo wake wa kawaida, wa vitendo na uhalisia, mwandishi anayeuzwa sana Dag Heward-Mills, anashughulikia swali ambalo limekuwa likiomba jibu. Hili ni jambo la lazima kusomwa kwa mtu yeyote anayechunga kanisa; yeyote ambaye ana nia ya kushiriki injili ya Yesu Kristo na kuwakusanya watu kwa Mungu.
-
Watu wengi wanahangaika na dhana ya utoaji zaka ingawa zoezi hili la zamani limepelekea utajiri unaofahamika wa Wayahudi. Katika kitabu hiki, Askofu Dag Heward-Mills anafundisha namna utoaji zaka unavyowakilisha kanuni za utengenezaji utajiri na muujiza wa mafanikio. Furahia moja ya juzuu ya kiwango cha juu ya Dag Heward-Mills.
-
Neno la Kigriki LAIKOS linamaanisha "kutokuwa na ujuzi". Historia imetufundisha tena na tena kwamba mambo makubwa yamefanyika na watu "wasio na ujuzi". Jifunza, kupitia kitabu hiki cha kipekee cha Dag Heward-Mills, Nini kinatokea kama hakuna watu wa kawaida wakifanya kazi kanisani; namna ya kushirikisha mzigo na watu wa kujitolea na kwa nini tunapaswa kupambana kulinda huduma ya kiuchungaji ya kawaida.