-
"Katika kazi hii maalum, Dag Heward- Mills anatathmini hali halisi za maisha katika huduma leo. Anagusia mambo halisi kama fedha, siasa, kuhusiana na jinsi tofauti na mahusiano ya kihuduma. Mwongozo wa akili za kawaida kwa msingi halisi kwa wito wako, kitabu hiki ni cha lazima kwa kila kiongozi mkristo. Kinapendekezwa kwa hali ya juu kwa shule za Bibilia na makasisi kwa jumla."
-
Bibilia inatuamabia kwamba sisi sote tunafanya makosa mengi- wakiwamo pia wachungaji. Makosa yana uwezo wa kukurudisha nyuma badala ya kwenda mbele. Kosa linaweza kukuzuia kuendelea. Ni makosa yapi mchungaji anaweza kuyafanya? Ni makosa yapi ambayo yanaweza kuwa makosa kumi makuu ya mchungaji? Unakaribishwa kupitia kurasa za kitabu hiki maalum na ugundue mwenyewe makosa ambayo uko katika hatari ya
-
"Kama Mkristo, mguso mkubwa na mzuri maishani mwako unatakiwa kuwa Roho Mtakatifu. Kitabu hiki kinakuwezesha kuelewa jinsi gani tabia yako, dhamira yako, ubunifu wako na hata uwezo wako wa kuwa mtakatifu unaweza kushawishiwa na Roho Mtakatifu. Kupitia kitabu hiki cha ajabu cha Dag Heward–Mills, lazima umruhusu Roho Mtakatifu akushawishi, akutie moyo na abadilishe maisha yako milele."
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
-
Dkt. Dag Heward-Mills, kiongozi Mkristo wa kipekee, anafichua moja wapo ya siri zake. "kama mtu angeniuliza siri kubwa ya mahusiano yangu na Mungu ni nini, ningesema, bila kusita kwamba ni nguvu ya muda wa faragha ninaokuwa naye kila siku". Ameamua kuandika kitabu hiki ili nawe uweze kunufaika kutokana na nguvu ya muda wa faragha.
-
Je niombe kwa namna gani? Niombe kuhusu nini? Kwa nini maombi ni fumbo kiasi hicho? Ninawezaje kuomba kwa muda mrefu? Je, Mungu hajui ninachohitaji tayari? Nini kitatokea nisipoomba? Maombi yangu yatajibika kwa kweli?" Gundua majibu kwa maswali haya unapopitia kitabu hiki elekezi na cha muda sahihi uhakika kilichoandikwa na Dag Heward-Mills.